Published On Nov 14, 2023
Mfanyibiashara Anne Njeri Njoroge anashikilia kuwa shehena ya tani laki moja za mafuta ni yake. Hii ni licha ya waziri wa kawi Davis Chirchir na halmashauri ya bandari nchini KPA kusema kuwa mafuta yanamilikiwa na kampuni ya Galana Energies.
show more