JINSI YA KUOMBA WAKATI WA MCHANA.
Apostle Mtalemwa Bushiri Apostle Mtalemwa Bushiri
100K subscribers
111,735 views
1.3K

 Published On Jul 13, 2021

HOW TO PRAY IN THE AFTERNOON
There are many things that God has closed in a certain time or season. In this lesson we learn how the day (noon/afternoon) has many good things if we understand how to use it. Also in this lesson Apostle Mtalemwa explains TWO KEY POINTS TO PRAY DURING THE DAY. Follow this lesson to learn more.

(Swahili)

JINSI YA KUOMBA WAKATI WA MCHANA

Kuna mambo mengi Mungu ameyafunga katika muda ama majira fulani.
Katika somo hili tunajifunza jinsi mchana ulivyo na mambo mengi mema endapo tutaelewa jinsi ya kuutumia.
Pia katika somo hili Apostle Mtalemwa anaeleza MAMBO MUHIMU MAWILI YA KUOMBA WAKATI WA MCHANA.
Fuatilia somo hili upate elimu zaidi.

show more

Share/Embed