Published On Sep 25, 2021
Naibu rais William Ruto amewahakikishia Rais Uhuru Kenyatta na kinara wa ODM Raila Odinga kuwa hatawahangaisha iwapo atachaguliwa kuwa rais mwaka ujao. Ruto akiwa katika ziara yake ya kaunti migori, amewataka wawili hao kumuunga mkono kwani naye aliwaunga mkono katika chaguzi zilizopita.
show more