Published On Sep 29, 2024
Singida Black Stars wamepata sare a kwanza kwenye ligi kuu msimu huu, wakikabwa koo na JKT Tanzania kwenye Dimba la CCM Liti mjini Singida....
Singida wametangulia kupata bao dakika ya 15 kupitia kwa Elvis Rupia, lakini JKt wakachomoa dakika ya 67 kupitia kwa Wilson Nangu.
JKT Tanzania pia walikosa penati dakika ya 46 kupitia kwa Hassan Dilunga,, ikiokolewa na golikipa Metacha Mnata....
show more