Published On Sep 28, 2024
Coastal Union imepata ushindi wake wa kwanza kwenye ligi kuu msimu huu, ikiitandika Pamba Jiji FC mabao 2-0, kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi...
magoli ya Coastal Union yametoka kwa John Mark Makwata dakika ya 49 na Maabad Maulid Maabad dakika ya 56...
show more