Published On Premiered Nov 1, 2021
Je uko kwenye mahusiano au ndoa? Una yafahamu mambo ambayo huwaudhi sana wanaume na yamkini huyo wa kwako anakereka sana ila haja kwambia tu. Labda haya mambo ndio chanzo cha mikwaruzano yenu ila hujajua chimbuko lake. Nifuatilie nikudadavulie haya mambo 5 ya wanawake yanayo wakera sana wanaume. Jifunze uokoe mahusiano na ndoa
Mambo 5 ya wanaume yanayo waudhi sana wanawake, • Dr. Chris Mauki: Mambo 5 ya wanaume ...
yako.#DrChris#Wanawake#Wanaume
show more