Mama Mzazi wa aliyepigwa na mume hadi akauawa Dodoma aeleza alivyomuonya mkwewe
Mwananchi Digital Mwananchi Digital
1.01M subscribers
333,792 views
1.1K

 Published On Premiered Sep 6, 2022

Kufuatia kifo cha Aisha Ramadhani anayedaiwa kuuwawa kwa kupigwa na mumewe hapa jijini Dodoma jambo lillopelekea kifo chake Mwananchi Digital imefika nyumbani kwa mama yake mzazi eneo la Changombe jijini hapa na kukutana na mama Mzazi wa aisha ambaye anaeleza namna ambavyo mwanae alikubwa na Masaibu hayo.

show more

Share/Embed