Published On Jul 12, 2024
1. Twae wangu uzima, Sadaka ya daima;
Twae saa na usiku, Zikutukuze huku.
2. Twae mikono, naye Ifanye Upendayo,
Twae yangu miguu, Kwa wongozi wako tu.
3. Twae sauti yangu, Niimbe kwa Mungu tu;
Itwae na midomo, Ijae neno lako.
4. Twae dhahabu pia Na yote ya dunia;
Twae yangu hekima Upendavyo tumia.
5. Nia itwae, Mungu; Haitakuwa yangu;
Twae moyo ni wako, Uwe makazi yako.
6. Twae mapenzi yangu, Sifa za moyo wangu.
Twae kabisa nafsi, Niwe wako halisi.
#breathofpraise #hymns #adventist
show more